PDF bure Mafundisho ya Yesu Mlimani

Free

Details

Location

South Africa Gauteng - Johannesburg

Published Date

25/1/2024

Modified Date

25/1/2024

Visitors

82

QR CODE

Description

Kristu anazungumza (Sehemu za kitabu «Hili ndilo Neno Langu»):
Mafundisho ya Mlimani ni njia ya kiroho inayoongoza moyoni mwa Mungu, kwenye ukamilifu.
Ninaongoza watu wangu kwenye ufahamu wa ukweli.
«Heri walio maskini wa roho, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao!» Neno «maskini» halimaanishi ukosefu wa mali. Siyo ukosefu wa mali ndio unaleta raha rohoni bali mshikamano wa kina na Mungu, kwa kutimiza mapenzi yake. Huo ndio utajiri wa kiroho.
Neno «maskini» lamaanisha wale wote wasiotafuta kumiliki na kujirundikia mali… Utajiri wao wa ndani ni maisha katika Mungu, kwa manufaa ya Mungu na ya majirani wao. Wanatimiza amri «Omba na tenda kazi».
«Heri wanaoteswa, kwa maana watafarijiwa.»
Mungu siye mhusika wa mateso ya mwanadamu…
16 pages
Bure

https://gabriele-publishing.com/
WhatsApp 004915118838742

Location

Vote
Result 0 votes
Gabriele Publishing
0 votes
Download PDF List all items from this seller

Images

PDF bure Mafundisho ya Yesu Mlimani

Contact seller


    Comments

      Leave your comment (spam and offensive messages will be removed)

      More ads of this seller